Zaburi 27:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana atanificha mafichoni mwake katika siku ya msiba;+Atanificha katika mahali pa siri pa hema lake;+Ataniweka juu kwenye mwamba.+ Zaburi 40:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yeye pia akaniinua kutoka katika shimo lenye kunguruma,+Kutoka katika matope ya nchi.+Kisha yeye akainua miguu yangu juu ya mwamba;+Akazifanya imara hatua zangu.+
5 Kwa maana atanificha mafichoni mwake katika siku ya msiba;+Atanificha katika mahali pa siri pa hema lake;+Ataniweka juu kwenye mwamba.+
2 Yeye pia akaniinua kutoka katika shimo lenye kunguruma,+Kutoka katika matope ya nchi.+Kisha yeye akainua miguu yangu juu ya mwamba;+Akazifanya imara hatua zangu.+