Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Esta 8:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na katika wilaya zote mbalimbali za utawala na katika majiji yote mbalimbali ambako neno la mfalme na sheria yake ilifika kulikuwa na shangwe na furaha kwa Wayahudi, karamu+ na siku njema; na watu wengi+ wa nchi wakawa wanajitangaza wenyewe kuwa Wayahudi,+ maana hofu+ ya Wayahudi ilikuwa imewashika.

  • Zaburi 98:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Yehova amefanya wokovu wake ujulikane;+

      Ameufunua uadilifu wake machoni pa mataifa.+

  • Waroma 10:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Hata hivyo nauliza, Je, walikosa kusikia? Kwani, kwa kweli, “sauti yao ilifika+ katika dunia yote, na maneno yao mpaka miisho ya dunia inayokaliwa.”+

  • Wakolosai 1:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 bora tu, bila shaka, mwendelee katika imani,+ mkiwekwa imara juu ya msingi+ na mkiwa thabiti+ na bila kuondoshwa kwenye tumaini la ile habari njema mliyoisikia,+ na ambayo ilihubiriwa+ katika uumbaji wote+ ulio chini ya mbingu. Mimi Paulo, nilikuja kuwa mhudumu wa hii habari njema.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki