Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 2:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Toka Aroeri,+ jiji lililo kando ya ukingo wa bonde la mto la Arnoni, na lile jiji lililo katika bonde la mto, mpaka Gileadi, hakukuwa na mji wowote uliokuwa juu sana kwetu.+ Yehova Mungu wetu aliitia yote mkononi mwetu.

  • Kumbukumbu la Torati 7:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “Na Yehova Mungu wako atayasukumia mbali mataifa haya toka mbele yako kidogo kidogo.+ Hutaruhusiwa kuwamaliza kabisa upesi, wanyama wa mwituni wasije wakaongezeka dhidi yako.

  • Mathayo 9:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nendeni, basi, mkajifunze maana ya jambo hili, ‘Ninataka rehema, wala si dhabihu.’+ Kwa maana nilikuja kuwaita, si watu waadilifu, bali watenda-dhambi.”

  • 1 Timotheo 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 ijapokuwa hapo zamani nilikuwa mkufuru na mtesaji+ na mtu mwenye dharau.+ Hata hivyo, nilionyeshwa rehema,+ kwa sababu nilikosa ujuzi+ nami nilitenda kwa ukosefu wa imani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki