17 Mimi mwenyewe nimesema moyoni mwangu:+ “Mungu wa kweli atahukumu mwadilifu na mwovu+ pia, kwa maana hapo kuna wakati wa kila jambo na kuhusu kila kazi.”+
31 Kwa sababu ameweka siku ambayo katika hiyo anakusudia kuihukumu+ kwa uadilifu dunia inayokaliwa kupitia kwa mwanamume ambaye amemweka rasmi, naye ametoa uhakikisho kamili kwa watu wote kwa kuwa amemfufua+ kutoka kwa wafu.”