6 “Kwa hiyo waambie wana wa Israeli, ‘Mimi ni Yehova, nami hakika nitawatoa chini ya mizigo ya Wamisri na kuwakomboa kutoka katika utumwa wao,+ nami kwa kweli nitawaokoa ninyi kwa mkono ulionyooshwa na kwa hukumu kubwa.+
4 Kwa maana nira ya mzigo wao+ na fimbo iliyo juu ya mabega yao, fimbo ya yule anayewalazimisha kwenda kazini+ umezivunja vipande-vipande kama katika siku ya Midiani.+
27 “Na itatukia katika siku hiyo kwamba mzigo wake utaondoka juu ya bega lako,+ na nira yake itaondoka juu ya shingo yako,+ na nira hakika itavunjwa+ kwa sababu ya mafuta.”