Zaburi 18:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Katika taabu yangu niliendelea kumwita Yehova,Nami niliendelea kumlilia Mungu wangu kwa ajili ya msaada.+Kutoka katika hekalu lake aliisikia sauti yangu,+Nacho kilio changu cha msaada mbele zake sasa kikafika masikioni mwake.+ Zaburi 50:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na uniite katika siku ya taabu.+Nitakuokoa, nawe utanitukuza.”+
6 Katika taabu yangu niliendelea kumwita Yehova,Nami niliendelea kumlilia Mungu wangu kwa ajili ya msaada.+Kutoka katika hekalu lake aliisikia sauti yangu,+Nacho kilio changu cha msaada mbele zake sasa kikafika masikioni mwake.+