8 Machoni pangu wajane wao wamekuwa wengi sana kuliko chembe za mchanga wa bahari. Nitamleta mporaji juu ya mama, juu ya kijana, katikati ya mchana.+ Nitaangusha ghafula juu yao wasiwasi na masumbufu.+
16 Na mtu huyo atakuwa kama majiji ambayo Yehova ameharibu hali Yeye hakuona majuto yoyote.+ Naye atasikia kilio wakati wa asubuhi na king’ora katikati ya mchana.+