Yeremia 20:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini wewe, Ee Yehova wa majeshi, unamchunguza mwadilifu;+ unaziona figo na moyo.+ Na nione kisasi chako juu yao,+ kwa maana nimekufunulia wewe kesi yangu.+ Wafilipi 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Msihangaike juu ya kitu chochote,+ bali katika kila jambo kwa sala na dua+ pamoja na kutoa shukrani maombi yenu na yajulishwe Mungu;+
12 Lakini wewe, Ee Yehova wa majeshi, unamchunguza mwadilifu;+ unaziona figo na moyo.+ Na nione kisasi chako juu yao,+ kwa maana nimekufunulia wewe kesi yangu.+
6 Msihangaike juu ya kitu chochote,+ bali katika kila jambo kwa sala na dua+ pamoja na kutoa shukrani maombi yenu na yajulishwe Mungu;+