Zaburi 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Naye Yehova atakuwa kilele salama kwa ajili ya mtu yeyote aliyekandamizwa,+Kilele salama wakati wa taabu.+ Zaburi 142:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nilikuitia wewe, Ee Yehova, kwa ajili ya msaada.+Nikasema: “Wewe ni kimbilio langu,+Fungu+ langu katika nchi ya walio hai.”+ Waebrania 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 ili, kupitia mambo mawili yasiyobadilika ambayo katika hayo Mungu hawezi kamwe kusema uwongo,+ sisi ambao tumekimbia kwenda katika kimbilio tupate kuwa na kitia-moyo chenye nguvu kushikilia tumaini+ lililowekwa mbele yetu.
9 Naye Yehova atakuwa kilele salama kwa ajili ya mtu yeyote aliyekandamizwa,+Kilele salama wakati wa taabu.+
5 Nilikuitia wewe, Ee Yehova, kwa ajili ya msaada.+Nikasema: “Wewe ni kimbilio langu,+Fungu+ langu katika nchi ya walio hai.”+
18 ili, kupitia mambo mawili yasiyobadilika ambayo katika hayo Mungu hawezi kamwe kusema uwongo,+ sisi ambao tumekimbia kwenda katika kimbilio tupate kuwa na kitia-moyo chenye nguvu kushikilia tumaini+ lililowekwa mbele yetu.