Zaburi 66:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Anatawala kwa nguvu zake mpaka wakati usio na kipimo.+Macho yake mwenyewe yanaendelea kuyatazama mataifa.+Nao wale ambao ni wakaidi, wasijiinue wenyewe.+ Sela. Zaburi 83:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ili watu wajue+ kwamba wewe, ambaye jina lako ni Yehova,+Wewe peke yako ndiye Uliye Juu Zaidi,+ juu ya dunia yote.+ Zaburi 97:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana wewe, Ee Yehova, ndiye Uliye Juu Zaidi, juu ya dunia yote;+Wewe uko juu sana katika kupanda kwako, juu ya miungu mingine yote.+
7 Anatawala kwa nguvu zake mpaka wakati usio na kipimo.+Macho yake mwenyewe yanaendelea kuyatazama mataifa.+Nao wale ambao ni wakaidi, wasijiinue wenyewe.+ Sela.
18 Ili watu wajue+ kwamba wewe, ambaye jina lako ni Yehova,+Wewe peke yako ndiye Uliye Juu Zaidi,+ juu ya dunia yote.+
9 Kwa maana wewe, Ee Yehova, ndiye Uliye Juu Zaidi, juu ya dunia yote;+Wewe uko juu sana katika kupanda kwako, juu ya miungu mingine yote.+