Kutoka 18:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Sasa najua kwamba Yehova ni mkuu kuliko miungu+ mingine yote kwa sababu ya jambo hili walilotenda kwa kimbelembele dhidi yao.” Zaburi 95:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana Yehova ni Mungu mkuu+Na Mfalme mkuu juu ya miungu mingine yote,+ Zaburi 135:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana mimi mwenyewe najua vema kwamba Yehova ni mkuu,+Na Bwana wetu ni zaidi ya miungu mingine yote.+ Isaya 44:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Msiwe na hofu, wala msishangazwe.+ Je, tangu wakati huo mimi sikuwafanya ninyi mmoja mmoja myasikie na kuyatangaza?+ Nanyi ni mashahidi wangu.+ Je, kuna Mungu zaidi ya mimi?+ Hapana, hakuna Mwamba.+ Sikumtambua yeyote.’”
11 Sasa najua kwamba Yehova ni mkuu kuliko miungu+ mingine yote kwa sababu ya jambo hili walilotenda kwa kimbelembele dhidi yao.”
3 Kwa maana Yehova ni Mungu mkuu+Na Mfalme mkuu juu ya miungu mingine yote,+ Zaburi 135:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana mimi mwenyewe najua vema kwamba Yehova ni mkuu,+Na Bwana wetu ni zaidi ya miungu mingine yote.+ Isaya 44:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Msiwe na hofu, wala msishangazwe.+ Je, tangu wakati huo mimi sikuwafanya ninyi mmoja mmoja myasikie na kuyatangaza?+ Nanyi ni mashahidi wangu.+ Je, kuna Mungu zaidi ya mimi?+ Hapana, hakuna Mwamba.+ Sikumtambua yeyote.’”
5 Kwa maana mimi mwenyewe najua vema kwamba Yehova ni mkuu,+Na Bwana wetu ni zaidi ya miungu mingine yote.+
8 Msiwe na hofu, wala msishangazwe.+ Je, tangu wakati huo mimi sikuwafanya ninyi mmoja mmoja myasikie na kuyatangaza?+ Nanyi ni mashahidi wangu.+ Je, kuna Mungu zaidi ya mimi?+ Hapana, hakuna Mwamba.+ Sikumtambua yeyote.’”