26 Ndipo akamwambia: “Je, moyo wangu haukukufuata wakati yule mtu alipogeuka na kushuka kutoka katika gari lake ili kukupokea? Je, ni wakati wa kupokea fedha au kupokea mavazi au mashamba ya mizeituni au ya mizabibu au kondoo au ng’ombe au watumishi wa kiume na wajakazi?+
16 “Wanaume, akina ndugu, ilikuwa lazima andiko litimizwe,+ ambalo roho takatifu+ ilisema kimbele kwa kinywa cha Daudi kumhusu Yuda,+ aliyekuwa kiongozi kwa wale waliomkamata Yesu,+
3 Lakini Petro akasema: “Anania, kwa nini Shetani+ amekupa ujasiri wa kuidanganya+ roho takatifu+ na kujiwekea kwa siri kiasi fulani cha bei ya shamba?