Zaburi 30:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ee Yehova, umeusimamisha mlima wangu katika nguvu kwa nia yako njema.+Uliuficha uso wako; nikawa na wasiwasi.+ Zaburi 38:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Hakuna mahali popote pazima katika mwili wangu kwa sababu ya shutuma yako.+Hakuna amani katika mifupa yangu kwa sababu ya dhambi yangu.+ Zaburi 90:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana tumefikia mwisho kwa hasira yako,+Na kwa ghadhabu yako tumetiwa wasiwasi.+
7 Ee Yehova, umeusimamisha mlima wangu katika nguvu kwa nia yako njema.+Uliuficha uso wako; nikawa na wasiwasi.+
3 Hakuna mahali popote pazima katika mwili wangu kwa sababu ya shutuma yako.+Hakuna amani katika mifupa yangu kwa sababu ya dhambi yangu.+