Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 20:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kisha Musa na Haruni wakaliita kutaniko pamoja mbele ya mwamba, naye akawaambia: “Sikieni, sasa, enyi waasi!+ Je, tuwatolee ninyi maji katika mwamba huu?”+

  • Ayubu 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini yeye akamwambia: “Wewe unasema kama anavyosema mmoja wa hao wanawake wasio na akili.+ Je, tukubali yaliyo mema tu kutoka kwa Mungu wa kweli, wala tusikubali pia yaliyo mabaya?”+ Katika hayo yote Ayubu hakutenda dhambi kwa midomo yake.+

  • Zaburi 141:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Uweke mlinzi, Ee Yehova, kwa ajili ya kinywa changu;+

      Uweke mwangalizi juu ya mlango wa midomo yangu.+

  • Methali 16:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Asiye mwepesi wa hasira ni bora kuliko mwanamume mwenye nguvu,+ naye anayezuia roho yake ni bora kuliko mtu anayeteka jiji.+

  • Yakobo 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa maana sisi sote hujikwaa mara nyingi.+ Ikiwa yeyote hajikwai katika neno,+ huyo ni mtu mkamilifu,+ anayeweza kuuongoza kwa lijamu mwili wake wote pia.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki