21 Kwa maana meli za mfalme zilikuwa zikienda Tarshishi+ pamoja na watumishi wa Hiramu.+ Mara moja kila miaka mitatu meli za Tarshishi zilikuja, zikiwa zimebeba dhahabu na fedha,+ pembe za tembo,+ na sokwe na tausi.+
9 Hata wanaume wazee wa Gebali+ na watu wake wenye ustadi walikuwa ndani yako wakiwa wenye kutia kalafati mipasuko+ yako. Meli zote za baharini na wanamaji wake wenyewe walikuwa ndani yako, ili kufanya biashara.
17 kwa sababu katika saa moja mali nyingi hivyo zimefanywa ukiwa!’+
“Na kila kapteni wa meli na kila mtu ambaye husafiri baharini mahali popote,+ na mabaharia na wale wote ambao hupata riziki baharini, walisimama mbali+