Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 9:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa maana meli za mfalme zilikuwa zikienda Tarshishi+ pamoja na watumishi wa Hiramu.+ Mara moja kila miaka mitatu meli za Tarshishi zilikuja, zikiwa zimebeba dhahabu na fedha,+ pembe za tembo,+ na sokwe na tausi.+

  • Ezekieli 27:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Hata wanaume wazee wa Gebali+ na watu wake wenye ustadi walikuwa ndani yako wakiwa wenye kutia kalafati mipasuko+ yako. Meli zote za baharini na wanamaji wake wenyewe walikuwa ndani yako, ili kufanya biashara.

  • Ufunuo 18:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 kwa sababu katika saa moja mali nyingi hivyo zimefanywa ukiwa!’+

      “Na kila kapteni wa meli na kila mtu ambaye husafiri baharini mahali popote,+ na mabaharia na wale wote ambao hupata riziki baharini, walisimama mbali+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki