Zaburi 50:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yule anayetoa shukrani zikiwa dhabihu yake ndiye anayenitukuza;+Naye anayedumisha njia iliyowekwa,Nitamfanya aone wokovu wa Mungu.”+ Zaburi 86:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana fadhili zako zenye upendo ni kuu kunielekea mimi,+Nawe umeikomboa nafsi yangu kutoka katika Kaburi,* mahali pake pa chini kabisa.+
23 Yule anayetoa shukrani zikiwa dhabihu yake ndiye anayenitukuza;+Naye anayedumisha njia iliyowekwa,Nitamfanya aone wokovu wa Mungu.”+
13 Kwa maana fadhili zako zenye upendo ni kuu kunielekea mimi,+Nawe umeikomboa nafsi yangu kutoka katika Kaburi,* mahali pake pa chini kabisa.+