7 Lakini hakuna mbwa yeyote atakayeuchezesha ulimi wake kwa bidii dhidi ya yeyote wa wana wa Israeli, kuanzia mwanadamu hata mnyama;+ ili mpate kujua kwamba Yehova anaweza kufanyiza tofauti kati ya Wamisri na wana wa Israeli.’+
19 Sasa tunajua kwamba mambo yote ambayo Sheria+ inasema, inawaambia wale walio chini ya Sheria, ili kila kinywa kizibwe+ na ulimwengu wote ustahili+ adhabu kutoka kwa Mungu.+