Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 11:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Lakini hakuna mbwa yeyote atakayeuchezesha ulimi wake kwa bidii dhidi ya yeyote wa wana wa Israeli, kuanzia mwanadamu hata mnyama;+ ili mpate kujua kwamba Yehova anaweza kufanyiza tofauti kati ya Wamisri na wana wa Israeli.’+

  • Zaburi 63:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Naye mfalme mwenyewe atashangilia katika Mungu.+

      Kila anayeapa kwa jina lake atajisifu,+

      Kwa maana kinywa cha wale wanaosema uwongo kitazibwa.+

  • Waroma 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Sasa tunajua kwamba mambo yote ambayo Sheria+ inasema, inawaambia wale walio chini ya Sheria, ili kila kinywa kizibwe+ na ulimwengu wote ustahili+ adhabu kutoka kwa Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki