12 Kwa mfano, wale wote waliofanya dhambi bila sheria wataangamia pia bila sheria;+ bali wale wote waliofanya dhambi chini ya sheria+ watahukumiwa kwa sheria.+
10 Kwa maana wote wanaotegemea matendo ya sheria wako chini ya laana; kwa maana imeandikwa: “Amelaaniwa kila mtu asiyedumu katika mambo yote yaliyoandikwa katika kitabu cha kukunjwa cha Sheria ili ayafanye.”+