Kutoka 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Kwa hiyo waambie wana wa Israeli, ‘Mimi ni Yehova, nami hakika nitawatoa chini ya mizigo ya Wamisri na kuwakomboa kutoka katika utumwa wao,+ nami kwa kweli nitawaokoa ninyi kwa mkono ulionyooshwa na kwa hukumu kubwa.+ Zaburi 20:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Sasa najua kwamba hakika Yehova humwokoa mtiwa-mafuta wake.+Humjibu kutoka katika mbingu zake takatifu+ Kwa matendo ya kuokoa yenye nguvu ya mkono wake wa kuume.+
6 “Kwa hiyo waambie wana wa Israeli, ‘Mimi ni Yehova, nami hakika nitawatoa chini ya mizigo ya Wamisri na kuwakomboa kutoka katika utumwa wao,+ nami kwa kweli nitawaokoa ninyi kwa mkono ulionyooshwa na kwa hukumu kubwa.+
6 Sasa najua kwamba hakika Yehova humwokoa mtiwa-mafuta wake.+Humjibu kutoka katika mbingu zake takatifu+ Kwa matendo ya kuokoa yenye nguvu ya mkono wake wa kuume.+