Mwanzo 42:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Nao wakaanza kusemezana: “Bila shaka tuna hatia kuhusiana na ndugu yetu,+ kwa sababu tuliona nafsi yake ikitaabika alipotuomba kwa bidii tumwonee huruma, lakini sisi hatukusikiliza. Ndiyo sababu taabu hii imetupata.”+ Zaburi 10:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Katika majivuno yake, mwovu humfuatilia vikali mwenye kuteseka;+Wanakamatwa na mawazo ambayo wametunga.+
21 Nao wakaanza kusemezana: “Bila shaka tuna hatia kuhusiana na ndugu yetu,+ kwa sababu tuliona nafsi yake ikitaabika alipotuomba kwa bidii tumwonee huruma, lakini sisi hatukusikiliza. Ndiyo sababu taabu hii imetupata.”+
2 Katika majivuno yake, mwovu humfuatilia vikali mwenye kuteseka;+Wanakamatwa na mawazo ambayo wametunga.+