2 Samweli 16:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na Daudi akaendelea kumwambia Abishai na watumishi wake wote: “Tazama, mwanangu mwenyewe, ambaye ametoka katika viuno vyangu, anaitafuta nafsi yangu;+ si zaidi sasa Mbenyamini huyu!+ Mwacheni alaani, kwa maana Yehova amemwambia hivyo! Zaburi 34:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Yehova yuko karibu na wale waliovunjika moyo;+Naye huwaokoa wale waliopondwa roho.+ Zaburi 37:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Mwovu anaendelea kumwangalia mwadilifu+Naye anatafuta kumuua.+
11 Na Daudi akaendelea kumwambia Abishai na watumishi wake wote: “Tazama, mwanangu mwenyewe, ambaye ametoka katika viuno vyangu, anaitafuta nafsi yangu;+ si zaidi sasa Mbenyamini huyu!+ Mwacheni alaani, kwa maana Yehova amemwambia hivyo!