Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 65:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Tazama! Watumishi wangu watakula,+ lakini ninyi mtakuwa na njaa.+ Tazama! Watumishi wangu watakunywa,+ lakini ninyi mtakuwa na kiu.+ Tazama! Watumishi wangu watashangilia,+ lakini ninyi mtaona aibu.+

  • Matendo 2:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Na siku baada ya siku walikuwa wakihudhuria daima kwenye hekalu kwa umoja,+ nao walikula milo yao katika nyumba za faragha na kushiriki chakula kwa shangwe+ kuu na weupe wa moyo,

  • Matendo 16:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Naye akawaleta ndani ya nyumba yake na kutandika meza mbele yao, naye akashangilia sana pamoja na watu wote wa nyumba yake kwa kuwa sasa alikuwa amemwamini Mungu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki