Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 22:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Yehova hunipa thawabu kulingana na uadilifu wangu;+

      Hunilipa kulingana na usafi wa mikono yangu.+

  • Yohana 7:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Yule ambaye husema mambo aliyotunga yeye mwenyewe anatafuta utukufu wake mwenyewe; bali yule anayetafuta utukufu+ wake aliyemtuma, huyo ni wa kweli, na hakuna ukosefu wa uadilifu ndani yake.

  • Waroma 10:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa maana Musa anaandika kwamba mtu ambaye amefanya uadilifu wa Sheria ataishi kwa huo.+

  • 1 Yohana 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kila mtu ambaye amezaliwa kutokana na Mungu haendelei kufanya dhambi,+ kwa sababu mbegu Yake yenye kuzaa hukaa ndani ya mtu huyo, naye hawezi kuwa na mazoea ya kufanya dhambi, kwa sababu amezaliwa kutokana na Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki