Zaburi 119:111 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 111 Nimevichukua vikumbusho vyako kuwa ni urithi mpaka wakati usio na kipimo,+Kwa maana hivyo ni furaha ya moyo wangu.+ Yeremia 15:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Maneno yako yalipatikana, nami nikayala;+ na neno lako linakuwa kwangu furaha na kushangilia+ kwa moyo wangu;+ kwa maana jina lako limeitwa juu yangu,+ Ee Yehova Mungu wa majeshi.+
111 Nimevichukua vikumbusho vyako kuwa ni urithi mpaka wakati usio na kipimo,+Kwa maana hivyo ni furaha ya moyo wangu.+
16 Maneno yako yalipatikana, nami nikayala;+ na neno lako linakuwa kwangu furaha na kushangilia+ kwa moyo wangu;+ kwa maana jina lako limeitwa juu yangu,+ Ee Yehova Mungu wa majeshi.+