Zaburi 119:104 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 104 Ninajiendesha kwa uelewaji kwa sababu ya maagizo yako.+Ndiyo sababu nimeichukia kila njia ya uwongo.+ Zaburi 141:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Usiuelekeze moyo wangu kwenye ubaya wowote,+Ili kuendeleza matendo yenye sifa mbaya katika uovu+Pamoja na watu wanaofanya mambo yenye kuumiza,+Ili nisipate kujilisha vyakula vyao vitamu.+ Methali 30:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Maneno yasiyo ya kweli na ya uwongo uyaondolee mbali nami.+ Usinipe umaskini wala utajiri.+ Acha nile chakula nilichoamriwa,+ Waefeso 4:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa hiyo, sasa kwa kuwa mmeuondolea mbali uwongo,+ semeni kweli kila mmoja wenu na jirani yake,+ kwa sababu sisi ni viungo vya mtu na mwenzake.+
104 Ninajiendesha kwa uelewaji kwa sababu ya maagizo yako.+Ndiyo sababu nimeichukia kila njia ya uwongo.+
4 Usiuelekeze moyo wangu kwenye ubaya wowote,+Ili kuendeleza matendo yenye sifa mbaya katika uovu+Pamoja na watu wanaofanya mambo yenye kuumiza,+Ili nisipate kujilisha vyakula vyao vitamu.+
8 Maneno yasiyo ya kweli na ya uwongo uyaondolee mbali nami.+ Usinipe umaskini wala utajiri.+ Acha nile chakula nilichoamriwa,+
25 Kwa hiyo, sasa kwa kuwa mmeuondolea mbali uwongo,+ semeni kweli kila mmoja wenu na jirani yake,+ kwa sababu sisi ni viungo vya mtu na mwenzake.+