Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 119:104
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 104 Ninajiendesha kwa uelewaji kwa sababu ya maagizo yako.+

      Ndiyo sababu nimeichukia kila njia ya uwongo.+

  • Zaburi 141:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Usiuelekeze moyo wangu kwenye ubaya wowote,+

      Ili kuendeleza matendo yenye sifa mbaya katika uovu+

      Pamoja na watu wanaofanya mambo yenye kuumiza,+

      Ili nisipate kujilisha vyakula vyao vitamu.+

  • Methali 30:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Maneno yasiyo ya kweli na ya uwongo uyaondolee mbali nami.+ Usinipe umaskini wala utajiri.+ Acha nile chakula nilichoamriwa,+

  • Waefeso 4:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kwa hiyo, sasa kwa kuwa mmeuondolea mbali uwongo,+ semeni kweli kila mmoja wenu na jirani yake,+ kwa sababu sisi ni viungo vya mtu na mwenzake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki