Zaburi 51:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Ee Mungu, unionyeshe kibali kulingana na fadhili zako zenye upendo.+Ufutilie mbali makosa yangu kulingana na wingi wa rehema zako.+ Zaburi 85:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ee Yehova, utuonyeshe fadhili zako zenye upendo,+Nawe utupe wokovu wako.+ Zaburi 90:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Utushibishe asubuhi kwa fadhili zako zenye upendo,+Ili tupate kupiga vigelegele kwa shangwe na kufurahi siku zetu zote.+ Zaburi 106:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Unikumbuke, Ee Yehova, kwa nia njema kuelekea watu wako.+Unitunze kwa wokovu wako,+ Zaburi 119:76 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 76 Tafadhali, fadhili zako zenye upendo na zinifariji,+Kulingana na maneno yako kwa mtumishi wako.+
51 Ee Mungu, unionyeshe kibali kulingana na fadhili zako zenye upendo.+Ufutilie mbali makosa yangu kulingana na wingi wa rehema zako.+
14 Utushibishe asubuhi kwa fadhili zako zenye upendo,+Ili tupate kupiga vigelegele kwa shangwe na kufurahi siku zetu zote.+
4 Unikumbuke, Ee Yehova, kwa nia njema kuelekea watu wako.+Unitunze kwa wokovu wako,+ Zaburi 119:76 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 76 Tafadhali, fadhili zako zenye upendo na zinifariji,+Kulingana na maneno yako kwa mtumishi wako.+