Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 7:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Musa na Haruni wakafanya hivyo mara moja,+ kama vile Yehova alivyokuwa ameamuru,+ naye akainua fimbo na kuyapiga maji ya Mto Nile machoni pa Farao na watumishi wake,+ nayo maji yote yaliyokuwa katika Mto Nile yakageuzwa kuwa damu.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 29:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Yeye mwenyewe, katika mwaka wa kwanza wa kutawala kwake, katika mwezi wa kwanza, aliifungua milango ya nyumba ya Yehova na kuanza kuirekebisha.+

  • Matendo 16:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Naye akawachukua pamoja naye katika saa hiyo ya usiku akaosha mapigo yao; na, wote, yeye na walio wake wakabatizwa+ bila kukawia.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki