Kutoka 7:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Musa na Haruni wakafanya hivyo mara moja,+ kama vile Yehova alivyokuwa ameamuru,+ naye akainua fimbo na kuyapiga maji ya Mto Nile machoni pa Farao na watumishi wake,+ nayo maji yote yaliyokuwa katika Mto Nile yakageuzwa kuwa damu.+ 2 Mambo ya Nyakati 29:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yeye mwenyewe, katika mwaka wa kwanza wa kutawala kwake, katika mwezi wa kwanza, aliifungua milango ya nyumba ya Yehova na kuanza kuirekebisha.+ Matendo 16:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Naye akawachukua pamoja naye katika saa hiyo ya usiku akaosha mapigo yao; na, wote, yeye na walio wake wakabatizwa+ bila kukawia.
20 Musa na Haruni wakafanya hivyo mara moja,+ kama vile Yehova alivyokuwa ameamuru,+ naye akainua fimbo na kuyapiga maji ya Mto Nile machoni pa Farao na watumishi wake,+ nayo maji yote yaliyokuwa katika Mto Nile yakageuzwa kuwa damu.+
3 Yeye mwenyewe, katika mwaka wa kwanza wa kutawala kwake, katika mwezi wa kwanza, aliifungua milango ya nyumba ya Yehova na kuanza kuirekebisha.+
33 Naye akawachukua pamoja naye katika saa hiyo ya usiku akaosha mapigo yao; na, wote, yeye na walio wake wakabatizwa+ bila kukawia.