Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 25:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Ee Mungu wangu, nimekutegemea wewe;+

      Ee nisione aibu.

      Adui zangu na wasishangilie juu yangu.+

  • Isaya 45:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Naye Israeli hakika ataokolewa kwa kuwa katika muungano na Yehova+ apate wokovu mpaka nyakati zisizo na kipimo.+ Ninyi hamtaona aibu,+ wala hamtafedheheshwa+ mpaka nyakati zisizo na kipimo za milele.

  • Waroma 5:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 nalo tumaini halikatishi tamaa;+ kwa sababu upendo wa Mungu+ umemiminwa ndani ya mioyo+ yetu kupitia roho takatifu,+ ambayo tulipewa.

  • Waroma 10:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana Andiko linasema: “Yeyote anayemwamini+ hatakata tamaa.”+

  • 1 Petro 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa maana imeandikwa katika Andiko: “Tazama! Ninaweka katika Sayuni jiwe, lililochaguliwa, jiwe la pembeni la msingi, lenye thamani; na mtu yeyote anayeonyesha imani katika hilo hatakata tamaa hata kidogo.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki