17 Naye Israeli hakika ataokolewa kwa kuwa katika muungano na Yehova+ apate wokovu mpaka nyakati zisizo na kipimo.+ Ninyi hamtaona aibu,+ wala hamtafedheheshwa+ mpaka nyakati zisizo na kipimo za milele.
6 Kwa maana imeandikwa katika Andiko: “Tazama! Ninaweka katika Sayuni jiwe, lililochaguliwa, jiwe la pembeni la msingi, lenye thamani; na mtu yeyote anayeonyesha imani katika hilo hatakata tamaa hata kidogo.”+