Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 72:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na jina lake tukufu na libarikiwe mpaka wakati usio na kipimo,+

      Nao utukufu wake na uijaze dunia yote.+

      Amina na Amina.

  • Zaburi 106:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Unikumbuke, Ee Yehova, kwa nia njema kuelekea watu wako.+

      Unitunze kwa wokovu wako,+

  • Matendo 15:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Simioni+ ameeleza kikamili jinsi Mungu kwa mara ya kwanza alivyoelekeza uangalifu wake kwa mataifa ili achukue kutoka kwao watu kwa ajili ya jina lake.+

  • Waebrania 6:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana Mungu hakosi kuwa mwadilifu hivi kwamba asahau kazi yenu na upendo mlioonyesha kwa ajili ya jina lake,+ kwa kuwa mmewahudumia watakatifu+ nanyi mnaendelea kuhudumu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki