Zaburi 73:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kwa maana, tazama! Walewale wanaokaa mbali nawe wataangamia.+Hakika utamnyamazisha kila mtu ambaye kwa njia isiyo ya adili anakuacha.+ Methali 15:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Yehova yuko mbali sana na waovu,+ lakini huisikia sala ya waadilifu.+
27 Kwa maana, tazama! Walewale wanaokaa mbali nawe wataangamia.+Hakika utamnyamazisha kila mtu ambaye kwa njia isiyo ya adili anakuacha.+