Zaburi 35:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mashahidi wenye jeuri husimama;+Huniuliza mambo nisiyojua.+ Zaburi 109:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana kinywa cha mwovu na kinywa cha udanganyifu vimefunguka juu yangu.+Wamesema juu yangu kwa ulimi wa uwongo;+ Mathayo 26:59 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 59 Wakati huohuo wakuu wa makuhani na Sanhedrini nzima walikuwa wakitafuta ushahidi wa uwongo juu ya Yesu ili wamuue,+ Waefeso 4:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Neno lililooza na lisitoke kinywani mwenu,+ bali neno lolote ambalo ni jema kwa ajili ya kujenga kulingana na uhitaji, ili liwape wasikiaji lile linalofaa.+
2 Kwa maana kinywa cha mwovu na kinywa cha udanganyifu vimefunguka juu yangu.+Wamesema juu yangu kwa ulimi wa uwongo;+
59 Wakati huohuo wakuu wa makuhani na Sanhedrini nzima walikuwa wakitafuta ushahidi wa uwongo juu ya Yesu ili wamuue,+
29 Neno lililooza na lisitoke kinywani mwenu,+ bali neno lolote ambalo ni jema kwa ajili ya kujenga kulingana na uhitaji, ili liwape wasikiaji lile linalofaa.+