Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 35:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mashahidi wenye jeuri husimama;+

      Huniuliza mambo nisiyojua.+

  • Zaburi 109:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Kwa maana kinywa cha mwovu na kinywa cha udanganyifu vimefunguka juu yangu.+

      Wamesema juu yangu kwa ulimi wa uwongo;+

  • Mathayo 26:59
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 59 Wakati huohuo wakuu wa makuhani na Sanhedrini nzima walikuwa wakitafuta ushahidi wa uwongo juu ya Yesu ili wamuue,+

  • Waefeso 4:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Neno lililooza na lisitoke kinywani mwenu,+ bali neno lolote ambalo ni jema kwa ajili ya kujenga kulingana na uhitaji, ili liwape wasikiaji lile linalofaa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki