Zaburi 46:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova wa majeshi yuko pamoja nasi;+Mungu wa Yakobo ni kilele chetu salama.+ Sela Waroma 8:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+ Waebrania 13:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hivi kwamba tuwe hodari+ na kusema: “Yehova ni msaidizi wangu; sitaogopa. Mwanadamu anaweza kunitenda nini?”+
31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+
6 Hivi kwamba tuwe hodari+ na kusema: “Yehova ni msaidizi wangu; sitaogopa. Mwanadamu anaweza kunitenda nini?”+