Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 17:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Wakati wa mchana unaweza kulijengea ua shamba lako kwa uangalifu, nawe unaweza kuichipusha mbegu yako wakati wa asubuhi, lakini hakika mavuno yatakimbia katika siku ya ugonjwa na maumivu yasiyoweza kuponywa.+

  • Hosea 8:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Kwa maana wao huendelea kupanda upepo, nao watavuna+ upepo wa dhoruba. Hakuna chochote chenye nafaka inayosimama.+ Hakuna chipukizi lolote linalotoa unga.+ Chipukizi lolote likiutokeza, wageni wataumeza.+

  • Wagalatia 6:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 kwa sababu yeye anayepanda kwa mwili wake atavuna uharibifu kutokana na mwili wake,+ lakini yeye anayepanda kwa roho+ atavuna uzima wa milele kutokana na roho.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki