11 Wakati wa mchana unaweza kulijengea ua shamba lako kwa uangalifu, nawe unaweza kuichipusha mbegu yako wakati wa asubuhi, lakini hakika mavuno yatakimbia katika siku ya ugonjwa na maumivu yasiyoweza kuponywa.+
8 kwa sababu yeye anayepanda kwa mwili wake atavuna uharibifu kutokana na mwili wake,+ lakini yeye anayepanda kwa roho+ atavuna uzima wa milele kutokana na roho.+