Zaburi 29:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mhesabieni Yehova utukufu wa jina lake.+Mwinamieni Yehova katika pambo takatifu.+ Zaburi 148:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na walisifu jina la Yehova,+Kwa maana jina lake peke yake liko juu sana lisiweze kufikiwa.+Utukufu wake uko juu ya dunia na mbingu.+
13 Na walisifu jina la Yehova,+Kwa maana jina lake peke yake liko juu sana lisiweze kufikiwa.+Utukufu wake uko juu ya dunia na mbingu.+