1 Wafalme 6:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Naye akaendelea kujenga ua wa ndani+ kwa mistari mitatu+ ya mawe yaliyochongwa na mstari mmoja wa nguzo za mwerezi. Zaburi 84:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana siku moja katika nyua zako ni bora kuliko siku elfu moja kwingineko.+Nimechagua kusimama mlangoni pa nyumba ya Mungu wangu+Badala ya kuzunguka katika mahema ya uovu.+ Zaburi 92:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Wale ambao wamepandwa katika nyumba ya Yehova,+Katika nyua za Mungu wetu,+ watachanuka. Zaburi 96:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mhesabieni Yehova utukufu wa jina lake;+Chukueni zawadi na mwingie katika nyua zake.+ Zaburi 116:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Katika nyua za nyumba ya Yehova,+Katikati yako, Ee Yerusalemu.+Msifuni Yah!+
36 Naye akaendelea kujenga ua wa ndani+ kwa mistari mitatu+ ya mawe yaliyochongwa na mstari mmoja wa nguzo za mwerezi.
10 Kwa maana siku moja katika nyua zako ni bora kuliko siku elfu moja kwingineko.+Nimechagua kusimama mlangoni pa nyumba ya Mungu wangu+Badala ya kuzunguka katika mahema ya uovu.+