Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 94:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Nao wanaendelea kusema: “Yah haoni;+

      Na Mungu wa Yakobo haelewi hilo.”+

  • Isaya 29:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ole wao wanaojizamisha ndani sana katika kuficha shauri kutoka kwa Yehova,+ na ambao matendo yao yamefanyika mahali penye giza,+ huku wakisema: “Ni nani anayetuona, na ni nani anayejua habari zetu?”+

  • Yeremia 23:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “Au, je, mtu yeyote anaweza kujificha katika maficho nami nisimwone?”+ asema Yehova.

      “Je, mimi kwa kweli sizijazi mbingu na dunia?”+ asema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki