Mwanzo 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mungu akaanza kuumba wanyama wakubwa mno wa baharini+ na kila nafsi hai inayotembea,+ wakajaa majini kulingana na aina zake, na kila kiumbe kinachoruka chenye mabawa kulingana na aina yake.+ Kisha Mungu akaona ya kuwa ilikuwa vyema. Zaburi 74:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Wewe mwenyewe uliichochea bahari kwa nguvu zako mwenyewe;+Ulivunja vichwa vya wanyama wakubwa wa baharini katika maji.+ Zaburi 104:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na kwa habari ya bahari hii iliyo kubwa na pana,+Humo mna vitu vyenye kutambaa visivyo na hesabu,+Viumbe hai, vidogo kwa vikubwa.+ Yona 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Sasa Yehova akamweka samaki mkubwa ammeze Yona,+ naye Yona akawa katika tumbo la samaki huyo siku tatu mchana na usiku.+
21 Mungu akaanza kuumba wanyama wakubwa mno wa baharini+ na kila nafsi hai inayotembea,+ wakajaa majini kulingana na aina zake, na kila kiumbe kinachoruka chenye mabawa kulingana na aina yake.+ Kisha Mungu akaona ya kuwa ilikuwa vyema.
13 Wewe mwenyewe uliichochea bahari kwa nguvu zako mwenyewe;+Ulivunja vichwa vya wanyama wakubwa wa baharini katika maji.+
25 Na kwa habari ya bahari hii iliyo kubwa na pana,+Humo mna vitu vyenye kutambaa visivyo na hesabu,+Viumbe hai, vidogo kwa vikubwa.+
17 Sasa Yehova akamweka samaki mkubwa ammeze Yona,+ naye Yona akawa katika tumbo la samaki huyo siku tatu mchana na usiku.+