20 Naye Miriamu nabii, dada ya Haruni,+ akachukua tari mkononi mwake;+ na wanawake wote wakaanza kutoka pamoja naye wakiwa na matari na kucheza dansi.+
13 “Wakati huo bikira atashangilia kwa dansi, pia vijana na wanaume wazee, wote pamoja.+ Nami nitayageuza maombolezo yao yawe furaha, nami nitawafariji na kuwafanya washangilie kutoka katika huzuni yao.+