Zaburi 37:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mtegemee Yehova na ufanye mema;+Ukae duniani, na utende kwa uaminifu.+ Zaburi 62:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mtegemeeni nyakati zote.+Mimineni moyo wenu mbele zake.+Mungu ni kimbilio letu.+ Sela. Methali 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mtegemee Yehova kwa moyo wako wote+ wala usitegemee uelewaji wako mwenyewe.+ 1 Petro 4:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo, basi, acheni wale wanaoteseka kwa kupatana na mapenzi ya Mungu waendelee kuzikabidhi nafsi zao kwa Muumba mwaminifu wanapotenda mema.+
19 Kwa hiyo, basi, acheni wale wanaoteseka kwa kupatana na mapenzi ya Mungu waendelee kuzikabidhi nafsi zao kwa Muumba mwaminifu wanapotenda mema.+