Zaburi 68:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Katika makundi yaliyokutanika mbarikini Mungu,+Yehova, enyi mnaotoka katika Chemchemi ya Israeli.+ Zaburi 107:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Na wamtukuze katika kutaniko la watu;+Na katika kikao cha wazee na wampe sifa.+ Zaburi 111:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 111 Msifuni Yah!+ א [ʼAʹleph]Nitamsifu Yehova kwa moyo wangu wote+ב [Behth]Katika kikundi cha rafiki za karibu+ walio wanyoofu na katika kusanyiko.+
26 Katika makundi yaliyokutanika mbarikini Mungu,+Yehova, enyi mnaotoka katika Chemchemi ya Israeli.+
111 Msifuni Yah!+ א [ʼAʹleph]Nitamsifu Yehova kwa moyo wangu wote+ב [Behth]Katika kikundi cha rafiki za karibu+ walio wanyoofu na katika kusanyiko.+