Zaburi 15:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Pesa zake hakutoa ili apate faida,+Wala hakuchukua rushwa dhidi ya mtu asiye na hatia.+Yeye anayefanya mambo hayo hatatikiswa.+ Zaburi 16:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nimemweka Yehova mbele yangu daima.+Kwa sababu yuko upande wa mkono wangu wa kuume, sitatikiswa.+
5 Pesa zake hakutoa ili apate faida,+Wala hakuchukua rushwa dhidi ya mtu asiye na hatia.+Yeye anayefanya mambo hayo hatatikiswa.+