Hesabu 6:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Yehova na aufanye uso wake ung’ae kukuelekea,+ na akupe kibali.+ Zaburi 67:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 67 Mungu mwenyewe atatuonyesha kibali na kutubariki;+Ataufanya uso wake utuangazie+—Sela— Zaburi 80:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ee Mungu, uturudishe;+Na uutie uso wako nuru, ili tupate kuokolewa.+ Waroma 9:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana yeye anamwambia Musa: “Nitamwonyesha rehema yeyote ninayetaka kumwonyesha rehema, nami nitamwonyesha huruma yeyote ninayetaka kumwonyesha huruma.”+
15 Kwa maana yeye anamwambia Musa: “Nitamwonyesha rehema yeyote ninayetaka kumwonyesha rehema, nami nitamwonyesha huruma yeyote ninayetaka kumwonyesha huruma.”+