Zaburi 31:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Uufanye uso wako umwangazie mtumishi wako.+Uniokoe katika fadhili zako zenye upendo.+ Zaburi 67:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 67 Mungu mwenyewe atatuonyesha kibali na kutubariki;+Ataufanya uso wake utuangazie+—Sela— Zaburi 80:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ee Mungu, uturudishe;+Na uutie uso wako nuru, ili tupate kuokolewa.+