Hesabu 6:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Yehova na aufanye uso wake ung’ae kukuelekea,+ na akupe kibali.+ Zaburi 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kuna wengi wanaosema: “Ni nani atakayetuonyesha mema?”Inua nuru ya uso wako juu yetu,+ Ee Yehova. Zaburi 31:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Uufanye uso wako umwangazie mtumishi wako.+Uniokoe katika fadhili zako zenye upendo.+ Zaburi 119:135 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 135 Ufanye uso wako umwangazie mtumishi wako,+Na unifundishe masharti yako.+ Methali 16:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Katika nuru ya uso wa mfalme kuna uzima,+ nayo nia yake njema ni kama wingu la majira ya mvua ya masika.+
15 Katika nuru ya uso wa mfalme kuna uzima,+ nayo nia yake njema ni kama wingu la majira ya mvua ya masika.+