Ayubu 29:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Nao waliningojea kama kungojea mvua,+Nao wakakifungua wazi kinywa chao kwa ajili ya mvua ya masika.+ Zaburi 72:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Atashuka kama mvua juu ya majani yaliyofyekwa,+Kama manyunyu mengi yanayolowesha dunia.+ Methali 19:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ghadhabu ya mfalme ni mngurumo kama ule wa mwana-simba mwenye manyoya shingoni,+ lakini nia yake njema ni kama umande juu ya majani.+ Hosea 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nasi tutajua, tutafanya bidii kumjua Yehova.+ Kutokea kwake kumefanywa imara+ kama mapambazuko.+ Naye atakuja kwetu kama mvua inayonyesha;+ kama mvua ya masika ambayo huilowesha dunia.”+
23 Nao waliningojea kama kungojea mvua,+Nao wakakifungua wazi kinywa chao kwa ajili ya mvua ya masika.+
12 Ghadhabu ya mfalme ni mngurumo kama ule wa mwana-simba mwenye manyoya shingoni,+ lakini nia yake njema ni kama umande juu ya majani.+
3 Nasi tutajua, tutafanya bidii kumjua Yehova.+ Kutokea kwake kumefanywa imara+ kama mapambazuko.+ Naye atakuja kwetu kama mvua inayonyesha;+ kama mvua ya masika ambayo huilowesha dunia.”+