Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 29:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Nao waliningojea kama kungojea mvua,+

      Nao wakakifungua wazi kinywa chao kwa ajili ya mvua ya masika.+

  • Zaburi 72:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Atashuka kama mvua juu ya majani yaliyofyekwa,+

      Kama manyunyu mengi yanayolowesha dunia.+

  • Methali 19:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ghadhabu ya mfalme ni mngurumo kama ule wa mwana-simba mwenye manyoya shingoni,+ lakini nia yake njema ni kama umande juu ya majani.+

  • Hosea 6:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nasi tutajua, tutafanya bidii kumjua Yehova.+ Kutokea kwake kumefanywa imara+ kama mapambazuko.+ Naye atakuja kwetu kama mvua inayonyesha;+ kama mvua ya masika ambayo huilowesha dunia.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki