15 Ndani yake mkapatikana mtu mwenye uhitaji lakini mwenye hekima, naye akaliokoa jiji hilo kwa sababu ya hekima yake.+ Lakini hakuna mtu aliyemkumbuka yule mtu mhitaji.+
3 mnamtazama kwa kibali+ yule aliyevaa mavazi ya fahari na kumwambia: “Wewe kalia kiti hiki hapa mahali pazuri,” nanyi mnamwambia yule maskini: “Wewe simama,” au: “Kalia kiti kile pale chini ya kiti changu cha miguu,”