Methali 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Miguu yake inashuka kwenye kifo.+ Hatua zake hushika Kaburi.*+ Methali 5:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Atakufa yeye mwenyewe kwa sababu hakuna nidhamu,+ na kwa sababu ya upumbavu wake mwingi yeye hupotea.+ Methali 9:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini yeye hajapata kujua kwamba wale wasiojiweza katika kifo wamo humo, kwamba walioitwa naye wamo mahali pa chini pa Kaburi.*+ Waefeso 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana mnajua hili, nanyi mnalitambua wenyewe, kwamba hakuna mwasherati+ au mtu asiye safi au mtu mwenye pupa+—maana yake ni kuwa mwabudu-sanamu—aliye na urithi wowote katika ufalme wa Kristo na wa Mungu.+
23 Atakufa yeye mwenyewe kwa sababu hakuna nidhamu,+ na kwa sababu ya upumbavu wake mwingi yeye hupotea.+
18 Lakini yeye hajapata kujua kwamba wale wasiojiweza katika kifo wamo humo, kwamba walioitwa naye wamo mahali pa chini pa Kaburi.*+
5 Kwa maana mnajua hili, nanyi mnalitambua wenyewe, kwamba hakuna mwasherati+ au mtu asiye safi au mtu mwenye pupa+—maana yake ni kuwa mwabudu-sanamu—aliye na urithi wowote katika ufalme wa Kristo na wa Mungu.+