Methali 10:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Njia ya Yehova ni ngome kwa mtu asiye na lawama,+ lakini wale wanaozoea kutenda mambo yenye kuumiza wataharibiwa.+ Luka 13:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Lakini atasema na kuwaambia ninyi, ‘Sijui mnatoka wapi. Ondokeni kwangu, ninyi nyote mnaotenda ukosefu wa uadilifu!’+ Ufunuo 22:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nje kuna mbwa+ na wale wenye mazoea ya kuwasiliana na pepo+ na waasherati+ na wauaji na waabudu-sanamu na kila mtu anayependezwa na uwongo+ na kuendelea kuutenda.’
29 Njia ya Yehova ni ngome kwa mtu asiye na lawama,+ lakini wale wanaozoea kutenda mambo yenye kuumiza wataharibiwa.+
27 Lakini atasema na kuwaambia ninyi, ‘Sijui mnatoka wapi. Ondokeni kwangu, ninyi nyote mnaotenda ukosefu wa uadilifu!’+
15 Nje kuna mbwa+ na wale wenye mazoea ya kuwasiliana na pepo+ na waasherati+ na wauaji na waabudu-sanamu na kila mtu anayependezwa na uwongo+ na kuendelea kuutenda.’