Zaburi 37:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Anaonyesha kibali na kukopesha mchana kutwa,+Na kwa hiyo wazao wake watapata baraka.+ Zaburi 112:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Amegawa kwa wingi; amewapa maskini.+ צ [Tsa·dhehʹ]Uadilifu wake unasimama milele.+ ק [Qohph]Pembe yake mwenyewe itainuliwa kwa utukufu.+ Luka 6:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Mpe kila mtu anayekuomba,+ na yule anayechukua vitu vyako, usimwombe akurudishie. 2 Wakorintho 8:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana mnazijua fadhili zisizostahiliwa za Bwana wetu Yesu Kristo, kwamba ingawa alikuwa tajiri, alikuja kuwa maskini kwa ajili yenu,+ ili muwe matajiri+ kupitia umaskini wake.
9 Amegawa kwa wingi; amewapa maskini.+ צ [Tsa·dhehʹ]Uadilifu wake unasimama milele.+ ק [Qohph]Pembe yake mwenyewe itainuliwa kwa utukufu.+
9 Kwa maana mnazijua fadhili zisizostahiliwa za Bwana wetu Yesu Kristo, kwamba ingawa alikuwa tajiri, alikuja kuwa maskini kwa ajili yenu,+ ili muwe matajiri+ kupitia umaskini wake.