Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 9:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi wao, kwa kupenda kwao wenyewe, wakatenda kwa werevu,+ wakajiwekea akiba ya vyakula na kuchukua magunia yaliyochakaa kwa ajili ya punda zao, na viriba vya divai vilivyochakaa, vilivyopasuka na kufungwa,+

  • 1 Samweli 23:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Tafadhali nendeni, vumilieni tena kidogo tu, mhakikishe na mwone mahali pake ambapo mguu wake utakuja—yeyote aliyemwona hapo—kwa maana nimeambiwa kwamba bila shaka yeye ni mjanja.+

  • Methali 15:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Yeyote aliye mpumbavu hudharau nidhamu ya baba yake,+ lakini mtu yeyote anayejali karipio ni mwerevu.+

  • Mathayo 10:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Tazama! Mimi ninawatuma ninyi kama kondoo katikati ya mbwa-mwitu;+ kwa hiyo jionyesheni wenyewe kuwa wenye kujihadhari kama nyoka+ na hata hivyo wasio na hatia kama njiwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki