4 Basi wao, kwa kupenda kwao wenyewe, wakatenda kwa werevu,+ wakajiwekea akiba ya vyakula na kuchukua magunia yaliyochakaa kwa ajili ya punda zao, na viriba vya divai vilivyochakaa, vilivyopasuka na kufungwa,+
22 Tafadhali nendeni, vumilieni tena kidogo tu, mhakikishe na mwone mahali pake ambapo mguu wake utakuja—yeyote aliyemwona hapo—kwa maana nimeambiwa kwamba bila shaka yeye ni mjanja.+
16 “Tazama! Mimi ninawatuma ninyi kama kondoo katikati ya mbwa-mwitu;+ kwa hiyo jionyesheni wenyewe kuwa wenye kujihadhari kama nyoka+ na hata hivyo wasio na hatia kama njiwa.+